Hakuna journalist alimuuliza Kanini kuhusu Countries such as China and Japan pande ya PPEs?
Hii ya Ojaamong lazima after saying it, aliingia huko nyuma ya studio na kuangua kicheko while ROTF
Where Can we hire a vigilante justice group to take care of this?
Huko italy na america wamelipwa ama hawajalipwa? Wako na insurance ama hawana?