Relic Hunter
Elder Lister
Moderators preach water while sipping champagne! All I did is ask a simple question Waturedio amenipiga ban. Watu wa kusalimiana kuosha mecho hawezi wauliza, anyway nimehamia hapa Senate
AsanteI don't know what Kijiji ya Vijana is but your thoughts and opinions are always welcome here.
@JazzMan leta ile muosho
Huko kwa Waturedio kuna kawenda wazimu flani. Lazima nifuate kanuni za hukuHuku utanyenyekea kama uko na matusi, karibu seneti.
Ukiland hizo pande tusi Waturedio on my behalfHe he he,unaanza matusi na wewe sio big wig?
Hapa utakula ban by 6:59am.
Eti reason : kaa huko kwa wazaeTwo years ago nilipigwa ban huko na sijawahi angalia nyuma tenaView attachment 38130
Wewe na siwez mind kulipa 150/ take the poll hauwezi tupwa siberia lakini swali tu nimekula ban.Sijawai enda siberia