gideon moi is the running mate

Council members will pick the running mate. Out of 11, jubilee has 6, odm 3, wiper 1, then karua. It is obvious who jubilee will vote for.

Screenshot_2022-04-16-10-39-54-111_com.android.chrome.jpg
 
waiting for opinion poll but I reckon Martha karua it will be

Yap karua it is if that coalition council ndio itamake the decision

olp.png


Karua already has 4 votes sabina chege,naomi shaban,charity ngilu and her self she needs only 3 additional votes

meanwhile kalonzo is endorsing himselfu asrunning mate

 
Yani Kalonzo alifikiria son of a peasant from Yatta anaweza keti meza moja na madynasty? Sasa anaexperince kile mimi husema kuwa dynasty hawapendi asiyekuwa mmoja wao kwa meza. Ni mukae chini mgoje matigio yao. Wamekoroga Kalonzo mpaka hajui juu kutoka chini. Walimhadaa ati atakuwa deputy coalition leader, kuvumba kuvumbua amejikutaa raiyaa wa kawaida. Na hawa ndio mnataka kuamini? Wahadaaji mchana mchana?

IMG_20220416_172357.jpg


Ndio natoka kwa Gacheri wa Kanuthu baada ya kushinda ba mahustla. Wameniambia kuwa hustla means anayeamka kila siku kujitafutia riziki yake na ya familia.
Na nina penda huyu Olive Burrows, kama uko na namba yake nirushie.
 
Yani Kalonzo alifikiria son of a peasant from Yatta anaweza keti meza moja na madynasty? Sasa anaexperince kile mimi husema kuwa dynasty hawapendi asiyekuwa mmoja wao kwa meza. Ni mukae chini mgoje matigio yao. Wamekoroga Kalonzo mpaka hajui juu kutoka chini. Walimhadaa ati atakuwa deputy coalition leader, kuvumba kuvumbua amejikutaa raiyaa wa kawaida. Na hawa ndio mnataka kuamini? Wahadaaji mchana mchana?

View attachment 59315

Ndio natoka kwa Gacheri wa Kanuthu baada ya kushinda ba mahustla. Wameniambia kuwa hustla means anayeamka kila siku kujitafutia riziki yake na ya familia.
Na nina penda huyu Olive Burrows, kama uko na namba yake nirushie.
Mwingi Mwano, Yatta ni kukuja alikuja.
 
Gideon shortcoming is that he believes in people from his Rerimoi/Kemoi clan, sadly his classmen don't play well with others.
 
Back
Top