Good morning @Field MarshalHapo kuna majamaa wanawish ingekuwa imebeba makali![]()
Mkamba nini mbaya? Huku kwetu pia kumekataa kunyesha tunakaa mazombie kama nyinyi I tell you...Good morning @Field Marshal
Kama mnakunywa mercury na cyanide kwa sukari changarawe ni nini sasa? Sisi ni wangumu...Najua Kesho tutakunywa chai iko na ka roughness. Changarawe changarawe, From the milk they attempted to salvage
Ni salamu tu, Tillman!Mkamba nini mbaya? Huku kwetu pia kumekataa kunyesha tunakaa mazombie kama nyinyi I tell you...
Najua Kesho tutakunywa chai iko na ka roughness. Changarawe changarawe, From the milk they attempted to salvage