Sijamaliza na wewe kwanza....ulinichokoza.@It's Me Scumbag aliamua kuwachia hekaya katikati ndio akuje hapa kuchongoa mafans wa Arsenali jana. Isorait
Kama si sasa ni sasa hivi .Sijamaliza na wewe kwanza....ulinichokoza.
This guy,anichokoze and even after Arsenal walishindwa,bado ananifuatafuata kwingine. Ni kama amedecide kutoa machungu na mimi...n he knows sipendi vitaKama si sasa ni sasa hivi .