Forget the silly and doctored post that
@Okiya who has fell from the glory of being this kijiji's chief economy advisor to an Assimio minion put here.
Here's the real deal
FOrBzyVVsAAFeZI.jpeg
If we were to describe the teams abilities:
Namba moja mgongoni ni Mudavadi aliyekuwa mchezaji wa kulipwa pale Woodley city council housing FC kabla kuhamia Mavoko Cemetery Land FC.
Namba mbili mgongoni wasilikizaji ni Man Weta himselofu. Kabla ajitose kwa kadada ya kulipwa,alikuwa anachezea BAT Bribery case FC,akahamia Tokyo Embassy Scandal FC na Abuja Embassy scandal FC. Kuna wakati alichezea Goldscam FC and Turkana Oilblocks Grab FC.
Mamba Tatu mgongoni is the catwalkers from Kirinyaga. Huyu ni mmoja wa wale wachezaji wanavutia said hata statehouse FC ilikuwa ibadilishe uwanja wao lasmi kuupeleka pale Kutus. Lakini kabla mipango ikamilike,alichezea NYS Scandal FC akiwa meneja mkuu na Kabura akiyabeba malipo ya wachezaji na magunia kutoka kwa benki...mengi kumhusi baadaye
Namba Tano mgongoni ni kipa imara kutoka Naivadha Keroshe FC. Amewahi tajwa katika sakata za Dangerous Alcohol FC akiwa mshambulizi hatari lakini alicheza dhidi ya KRA FC na kuwadhinda kabisa alipo kubali kulipa mamilioni ya pesa badala ya bilioni zile KRA FC ilikuwa inataka kama ada ya usajili
Hapo karibu munamuona mchezaji Gashaguah.. huyu alianza kucheza Admin FC ya Moi kabla ajiunge TobaccoCon FC kitambo. Ndio aliingia Nyeri County FC na kupata umaarufu mkubwa wa kiwango kikubwa cha 12B.
Kabakabogo ndiye mshika lango. Aluanza uchezaji akiwa derefa ya chemistry ilikwa mashakos na nakumatt. Alafu akahamisha Farmacy Kiambu County FC kabla aambie wamama wajipange kama mateatea ya umbwa awapatie mbecha...akatemwa na sasa ndo amepata timu nyingine ya kuchezea...
Wasikikizaji tutaendelea kuwajuza kuhusu ujuzi wa hawa wachezaji kama mchezo unaendelea...