I thought Uhuru is finished & has no influence!!

Okiya

Elder Lister
"Please tell him (Uhuru) that Ruto has said even if he has decided to help the Kitendawili man (Raila), I plead with him humbly, that he shouldn't unleash the same sword we used together on him (Raila) to cut my feet." Ruto in Mt. Kenya


Kwanini Ruto Aogopa Uhuru? Mambo yanayoletea Ruto baridi

1. Anahofia Uhuru amesaidia umarufu wa Raila kuongezeka katika zaidi ya Kaunti 11 za nje ya Mlima Kenya

2. Anadai Rais anatumia rasilmali kununua wanasiasa kutoka UDA

3. Anadai Rais anasaidia Raila kupanga mikutano ya kampeini

4. Kambi ya Raila inanufaika na taarifa za kijasusi
 
Mna yepi ya kusema?

20220322_094447.jpg
 
Why does huyu mtu only campaign in central? Last week he has had meetings in muranga, thika, gatundu, bahati, ndundori, muranga. kwani elections will only be held in mt kenya?
 
Why does huyu mtu only campaign in central? Last week he has had meetings in muranga, thika, gatundu, bahati, ndundori, muranga. kwani elections will only be held in mt kenya?
Makosa anayoifanya marehemu mtarajiwa (wa kisiasa), elsewhere he's losing keymen left and right, the likes of Walukhe, Khaniri, Magara, pia bullfighter naskia ako kwa mlango ya kutoka.
 
IMG-20220322-WA0007.jpg
Huyu nae ni kama ni wetu(Azimio) kimpango. Kesho utaskia Sudi akisema "Mimi nataka niambie Moses Courier kitu moja blah, blah..."
 
Uhuru is a charmer.

Like the guy we all know who has many wives/girlfriends/concubines.

All of whom talk shit about him.

Lakini mwisowe, wanaitikia kushika mimba yake.
 
The mugithi crowd was ecstatic. The one man guitarist alianza na "mukhangala" then switched to "Lelo ni lelo" and everyone was dancing along and shouting "inawezekana". Ground imeshift to azimio.
 
Back
Top