Machakos By Election

Kung''arrishwa kwa mwosho moja ie proper whitewash!

Meantime I see a lot of people around holding onto a dead dream.
 
The dreams of a few Mwalimu. Inaonekana ni kweli upo kwenye mrengo wa kuwapumbaza na kuwanyanyasa wanyonge na walio wengi katika Nchi hii...upo nyuma ya hand cheque, BBIshit na kuendeleza umasikini as long as you get your cut.
Rafiki yaku sio lazima niwe kwa pembe nyingine kama siko kwa yako. Na, la, hasha, siko kwenye mlengo wa kunyanyasa yeyote - ningependa tuwe na nchi moja yenye usawa na haki kwa wadogo na wakubwa.
Unaweza kuwa mchanganuzi wa mambo bila kuegemea pande yeyote.
Ukibebwa na wazo inafaa uangalie kina nani hao wanadai kuendeleza ndoto zako na utadhmini kama ni watu wa kuaminika kuwavusha hadi Canaan au watawabeba wakifika mto katikati wadai moyo wa nyani (Unakumbuka ile hadithi ya nyani na mamba?)
Tupige mambo msasa bila nyongo tupate suluhu itakayo tufaa sote.
 
Kavindu on the brink of winning Machakos Senate by-election

In Summary
•Kavindu has so far garnered 104,802 votes against her closest competitor Urbanus Ngengele (UDA) who got 19, 705.
•Voting was done on Thursday.
Agnes Kavindu.
Agnes Kavindu.
Image: GEORGE OWITI
Wiper party's Agnes Kavindu is on the brink of winning the Machakos Senate by-election.
By early Friday, Kavindu had garnered 104,802 votes against her closest competitor Urbanus Ngengele (UDA) who got 19, 705.
Voting was done on Thursday.
 
Kung''arrishwa kwa mwosho moja ie proper whitewash!

Meantime I see a lot of people around holding onto a dead dream.
I respectifully disagree. This is a very good result for us in UDA. Winning around 20% of the vote in Machakos is just great.

To win presidential elections in Kenya, all you need are two large ethnic blocks and about 10% in the rest of the country. All Ruto nees to win are the Kale and Mt Kenya blocks PLUS 10 in Macha, Matungu, Msambweni etc. So far he's exceeding that.

We are on track.
 
It is a matter of perspective.
I see he's losing ground he had rather fast and the real competition hasn't really formed. I guess we shall have to wait and see.

@Mwalimu-G , the MCA's vote on BBI is an indicator that without Uhuru's support, DP will never sleep in statehouse as the big guy.
In my humble opinion, Uhuru is in total control of who will succeed him as President.
Ruto has a chance to be either a Prime Minister or deputy but not President.
In my opinion, DP and his Tanga Tanga brigade should for now lie low like envelops until Uhuru shows his cards.
Raila, again, is not in the equation as either President or PM in 2022. He knows it but will milk the situation financially and politically to the maximum.
 
Back
Top