Mtu alete hiyo hadithi ya vile magaidi walitokea kwa lango kuu la jela kuu ya Kamiti.
Meanwhile naona Taifa wamepasua mbarika kwa kusema ngari la Hasola limeisha hewa kwa magurudumu. No wonder makasiriko juu wenyewe hawaoni dhamani ya shilingi waliyoweka kwa kampeni. They say timing is everything in politics!
I can assure, as I eat Ngimanene na muchere wa matharo tukiteremsha na mala, on 22nd December I will be served in a very crowded place without being castrated