Always good to look at all angles...

labda ni boy alinyimwa, wakakosana, wakagombana, na akaamua kuchapa roundi ndio atulie
kuulizwa anaenda wapi, akasema, no vaaa. (hio no Vaa ikakua kilometers kadhaa)
na hivyo ndio walijipata Kenya-Ukambani, na madame wao wakasema hakuna kunyimana tena.
 
Back
Top