By M'Bilia Bel
Jua ni moto
Tena ni mwangaza ya dunia
Jua, maji, mwezi, nyota, upepo na
Udongo
Ni uzima wa binadamu
Nadina yooo Nadina yoyo
Nadina yooo Nadina yoyo
Tuombe mungu baba yoyo
Atuhurumie dhambi zetu mama
Hata uko mwenye dhambi rudisha
Roho
Nyuma
Hata we ni wa shetani jua yuu
Alikuumba...