Wanajua SSU haiko kazi. KK govt watajua hawajui, vile crime rates imeeneda juu lazima hit squad kama SSU, Kwekwe, Flying Squad et al zifanye the dirty job.
Huyu ni mtu mjinga sana, unalipa 30k/month na huna akili ya kuona unafaa ulipe hata ka ni for 5 months then uruke hio deni, unaanza kulialia after forking out 478k? Watu wengine hawawezi saidika.