Mungu wa Yakobo, Eliyah na Musa, naja mbele zako siku ya leo kwa hiari ya Ole Gunnar Solskjaer na timu ya ibilisi manchester.
Naomba ukawasamehe dhambi zao siku ya leo Baba na ukawafanye wawe safi zaidi ya pamba. Katika hili mechi la kata na shoka, naomba ukawakabidhi nguvu na maadili timu hiyo...