Hahah eti tree hugger.com.. all birds would mean any county with wind turbines has no birds already..anyway kutetea mtu kama trump ni kazi ngumu sana..all the best
afadhali magufuli.. hawa wetu wakipeana numbers za covid pale asubuhi wamevaa masks nzito nzito and seat 10m apart... then wakimaliza wanaingia kwa umati wa peasants kufanya campaigns
waste of resources.. watumie hiyo pesa kupunguza deni au kujenga mahospitali.. kenya tumerogwa kila mara ni siasa tu.. kama hii bbi ingekuwa ya kutengeneza daraja za ukweli...I would support 100%
noma.. RIP..
especially on a sunday morning.. utapata walihepi usiku mzima on Saturday then drove straight from the pubs wasilipe za lodging... just speculation though