so these 2 geniuses have based their facts on the incompetence of the same gava they bash hapa kila siku... hakuna korona juu uhuru havai mask etc.. kuwaita wajinga ni kukosea wajinga heshima
so wale madem makarao hukuwa warembo saaana lakini unaambiwa usidhubutu hii ni mali ya mkubwa.. huyu alikuwa league ya wakubwa.. hizo hasira hao wanaume wame comment sio za pesa pekee yake
bado pata wakati omwami.. kazi nikufuata trump tu.. but its very possible thats what happened.. plus she is a small frail woman jamaa yake ilikuwa jitu.. or she turned state witness against her children?
iko madam. flani najua yeye na watoto wake wawili walichinja bwanake huko 90s..wakapewa kifo.. lakini alitoka in less than 10yrs..watoi bado wanakula maharagwe