kuna time pia nimeenda hepi na hii gari... time ya kwenda home maboyz wangu walikuwa watu wa masubaru na kelele, they drove off..
mimi kwenda kwa my lion of judah.. ikakataa kuguruma.. bouncer hataki kunisaidia kuskuma.. nikarudi ndani ya club nikaenda kwa dj.. msee wa power sana aka announce...