Hata hujasoma story ya huyo mama/kunguru, na maneno tu unarusharusha.
Aliambia Itumbi ako na ball, Itumbi akamshow hataweza hio story, so afanye abortion. Akakataa na akazaa.
After kuzaa, Itumbi akasema venye anashuku mtoto si wake. Wakaenda DNA ikapatikana na wake. Itumbi amekua akimpea 20k...